Luka 9:33
Musa na Ilya walipokuwa wanaondoka, Petro akamwambia Isa, “Bwana, ni vizuri tukae hapa! Tutajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Musa na kingine cha Ilya.” Lakini Petro hakujua alichosema.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- διαχωρίζομαιdiachōrízomaito remove (oneself) wholly, i.e. retire
- ἐπιστάτηςepistátēsan appointee over, i.e. commander (teacher)
- σκηνήskēnḗa tent or cloth hut (literally or figuratively)
- ἩλίαςHēlíasHelias (i.e. Elijah), an Israelite
- ὧδεhōdein this same spot, i.e. here or hither
- τρεῖςtreîs"three"
- μίαmíaone or first
- ΜωσεύςMōseúsMoseus, Moses, or Mouses (i.e. Mosheh), the Hebrew lawgiver
+maneno 18 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.