Luka 8:13
Zile mbegu zilizoanguka kwenye mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi. Wanaamini kwa muda mfupi, lakini wakati wa kujaribiwa huiacha imani.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- πέτραpétraa (mass of) rock (literally or figuratively)
- ῥίζαrhízaa "root" (literally or figuratively)
- πειρασμόςpeirasmósa putting to proof (by experiment (of good), experience (of evil), solicitation, disciplin
- δέχομαιdéchomaito receive (in various applications, literally or figuratively)
- χαράcharácheerfulness, i.e. calm delight
- καιρόςkairósan occasion, i.e. set or proper time
- ὅτανhótanwhenever (implying hypothesis or more or less uncertainty); also causatively (conjunctiona
- πιστεύωpisteúōto have faith (in, upon, or with respect to, a person or thing), i.e. credit; by implicati
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.