Luka 6:42
Utawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu yangu, acha nitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,’ wakati wewe mwenyewe huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako? Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- διαβλέπωdiablépōto look through, i.e. recover full vision
- δοκόςdokósa stick of timber
- κάρφοςkárphosa dry twig or straw
- ὑποκριτήςhypokritḗsan actor under an assumed character (stage-player), i.e. (figuratively) a dissembler ("hyp
- πρῶτονprōtonfirstly (in time, place, order, or importance)
- ἐκβάλλωekbállōto eject (literally or figuratively)
- ὀφθαλμόςophthalmósthe eye (literally or figuratively); by implication, vision; figuratively, envy (from the
- πῶςpōsan interrogative particle of manner; in what way? (sometimes the question is indirect, how
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rom 2:21–29, 1Th 2:10–12, Psa 51:9–13, Mat 23:13–15, Phm 1:10–11, 2Co 5:18, Pro 18:17, Act 8:21