Luka 5:30
Lakini Mafarisayo na walimu wa Torati waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Isa, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- γογγύζωgongýzōto grumble
- τελώνηςtelṓnēsa tax-farmer, i.e. collector of public revenue
- διατίdiatíthrough what cause ?, i.e. why?
- ἐσθίωesthíōused only in certain tenses, the rest being supplied by G5315 (φάγω); to eat (usually lite
- πίνωpínōto imbibe (literally or figuratively)
- γραμματεύςgrammateús
- ΦαρισαῖοςPharisaîosa separatist, i.e. exclusively religious; a Pharisean, i.e. Jewish sectary
- μαθητήςmathētḗsa learner, i.e. pupil
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 5:17, Mat 21:28–32, Act 23:9, Luk 5:21, Luk 19:7, Luk 7:29–30, Luk 15:1–2, Mrk 7:3