Luka 4:36
Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- θάμβοςthámbosstupefaction (by surprise), i.e. astonishment
- συλλαλέωsyllaléōto talk together, i.e. converse
- ἐπιτάσσωepitássōto arrange upon, i.e. order
- ἀκάθαρτοςakáthartosimpure (ceremonially, morally (lewd) or specially, (demonic))
- ἀλλήλωνallḗlōnone another
- ἐξουσίαexousíaprivilege, i.e. (subjectively) force, capacity, competency, freedom, or (objectively) mast
- δύναμιςdýnamisforce (literally or figuratively); specially, miraculous power (usually by implication, a
- λόγοςlógossomething said (including the thought); by implication, a topic (subject of discourse), al
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 4:32, Act 19:12–16, Mrk 16:17–20, Mat 12:22–23, Mrk 1:27, Luk 10:17–20, 1Pe 3:22, Mrk 7:37