Luka 20:46
“Jihadharini na walimu wa Torati. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni. Hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kukaa kwenye nafasi za heshima katika karamu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- πρωτοκαθεδρίαprōtokathedríaa sitting first (in the front row), i.e. preeminence in council
- πρωτοκλισίαprōtoklisíaa reclining first (in the place of honor) at the dinner-bed, i.e. preeminence at meals
- στολήstolḗequipment, i.e. (specially), a "stole" or long-fitting gown (as a mark of dignity)
- ἀγοράagoráprobably akin to G1453 (ἐγείρω)); properly, the town-square (as a place of public resort);
- ἀσπασμόςaspasmósa greeting (in person or by letter)
- φιλέωphiléōto be a friend to (fond of (an individual or an object)), i.e. have affection for (denotin
- προσέχωproséchō(figuratively) to hold the mind (3563 implied) towards, i.e. pay attention to, be cautious
- συναγωγήsynagōgḗan assemblage of persons; specially, a Jewish "synagogue" (the meeting or the place); by a
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mrk 12:38–39, Luk 14:7, Luk 11:43, Luk 12:1, Mat 23:5–7, Php 2:3–5, Mat 16:6, 2Ti 4:15