MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Luka 2:15

Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya yaliyotukia, ambayo Mwenyezi Mungu ametuambia habari zake.”

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/luk/2/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Luka 2:15 — MEGA.Bible"></iframe>