Luka 11:33
“Hakuna mtu yeyote awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- κρύπτηkrýptēa hidden place, i.e. cellar ("crypt")
- μόδιοςmódiosa modius, i.e. certain measure for things dry (the quantity or the utensil)
- ἅπτωháptōproperly, to fasten to, i.e. (specially) to set on fire
- λυχνίαlychníaa lamp-stand (literally or figuratively)
- λύχνοςlýchnosa portable lamp or other illuminator (literally or figuratively)
- εἰσπορεύομαιeisporeúomaito enter (literally or figuratively)
- τίθημιtíthēmito place (in the widest application, literally and figuratively; properly, in a passive or
- βλέπωblépōto look at (literally or figuratively)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 8:16–17, Mrk 4:21–22, Mat 5:15–16, Jhn 12:46, Php 2:15–16, Jhn 11:9, Mat 10:27