Luka 11:14
Basi Isa alikuwa anamtoa pepo mchafu kutoka kwa mtu aliyekuwa bubu. Yule pepo mchafu alipomtoka yule mtu aliyekuwa bubu, akaanza kuongea, nao umati wa watu wakashangaa.Luka 11:14 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- κωφόςkōphósblunted, i.e. (figuratively) of hearing (deaf) or speech (dumb)
- δαιμόνιονdaimóniona dæmonic being; by extension a deity
- ἐκβάλλωekbállōto eject (literally or figuratively)
- ὄχλοςóchlosa throng (as borne along); by implication, the rabble; by extension, a class of people; fi
- ἐξέρχομαιexérchomaito issue (literally or figuratively)
- λαλέωlaléōto talk, i.e. utter words
- ἦνēnI (thou, etc.) was (wast or were)
- γίνομαιgínomaito cause to be ("gen"-erate), i.e. (reflexively) to become (come into being), used with gr
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.