Luka 10:35
Kesho yake, yule Msamaria akachukua dinari mbili akampa yule mwenye nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami nirudipo nitakulipa gharama yoyote ya ziada uliyotumia kwa ajili yake.’Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- πανδοχεύςpandocheúsan innkeeper (warden of a caravanserai)
- προσδαπανάωprosdapanáōto expend additionally
- ἐπανέρχομαιepanérchomaito come up on, i.e. return
- ἐπιμελέομαιepimeléomaito care for (physically or otherwise)
- δηνάριονdēnáriona denarius (or ten asses)
- αὔριονaúrionproperly, fresh, i.e. (adverb with ellipsis of G2250 (ἡμέρα)) to-morrow
- ἀποδίδωμιapodídōmito give away, i.e. up, over, back, etc. (in various applications)
- ἐκβάλλωekbállōto eject (literally or figuratively)
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.