Luka 1:17
Naye atatangulia mbele za Mwenyezi Mungu katika roho na nguvu ya Ilya, ili kuigeuza mioyo ya baba kuwaelekea watoto wao, na wasiotii warejee katika hekima ya wenye haki, ili kuwaweka tayari watu walioandaliwa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- φρόνησιςphrónēsismental action or activity, i.e. intellectual or moral insight
- ἀπειθήςapeithḗsunpersuadable, i.e. contumacious
- προέρχομαιproérchomaito go onward, precede (in place or time)
- κατασκευάζωkataskeuázōto prepare thoroughly (properly, by external equipment; whereas G2090 (ἑτοιμάζω) refers ra
- ἩλίαςHēlíasHelias (i.e. Elijah), an Israelite
- ἑτοιμάζωhetoimázōto prepare
- ἐπιστρέφωepistréphōto revert (literally, figuratively or morally)
- δίκαιοςdíkaiosequitable (in character or act); by implication, innocent, holy (absolutely or relatively)
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mal 4:5–6, Mat 11:14, Luk 1:76, Mat 17:11–12, Jhn 1:21–30, Jhn 3:28, Mrk 9:11–13, Psa 78:8