“Waambie Waisraeli: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi Israeli atakayemtoa kafara mtoto wake yeyote kwa Moleki lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo watampiga kwa mawe.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.