Yoshua 9:1
Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia haya yote, na wale waliokuwa katika nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika pwani yote ya Bahari Kuu hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),Yoshua 9:1 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חוֹףchôwpha cove (as a sheltered bay)
- שְׁפֵלָהshᵉphêlâhLowland, i.e. (with the article) the maritime slope of Palestine
- פְּרִזִּיPᵉrizzîya Perizzite, one of the Canaanitish tribes
- חִוִּיChivvîya Chivvite, one of the aboriginal tribes of Palestine
- יְבוּסִיYᵉbûwçîya Jebusite or inhabitant of Jebus
- מוּלmûwlproperly, abrupt, i.e. a precipice; by implication, the front; used only adverbially (with
- חִתִּיChittîya Chittite, or descendant of Cheth
- לְבָנוֹןLᵉbânôwnLebanon, a mountain range in Palestine
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 34:6, Exo 3:17, Exo 23:23, Jos 3:10, Jos 1:15, Gen 15:18–21, Jos 12:7–24, Jos 3:17





