Yoshua 8:31
kama Musa mtumishi wa Mwenyezi Mungu alivyokuwa amewaamuru Waisraeli. Akaijenga sawasawa na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Torati ya Musa: madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna chombo cha chuma kilichotumika. Hapo juu yake wakamtolea Mwenyezi Mungu sadaka za kuteketezwa na kutoa sadaka za amani.Yoshua 8:31 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שָׁלֵםshâlêmcomplete (literally or figuratively); especially friendly
- נוּףnûwphto quiver (i.e. vibrate up and down, or rock to and fro); used in a great variety of appli
- בַּרְזֶלbarzeliron (as cutting); by extension, an iron implement
- זָבַחzâbachto slaughter an animal (usually in sacrifice)
- סֵפֶרçêpherproperly, writing (the art or a document); by implication, a book
- תּוֹרָהtôwrâha precept or statute, especially the Decalogue or Pentateuch
- כָּתַבkâthabto grave, by implication, to write (describe, inscribe, prescribe, subscribe)
- אֶבֶןʼebena stone
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Deu 27:5–7, Exo 20:24–25, Exo 24:5, Jos 1:8, Jos 8:34–35, 1Ki 18:31–32, Exo 18:12, Ezr 6:18