Yoshua 8:24
Israeli ilipomaliza kuwaua wanaume wote wa Ai katika mashamba na jangwani walipokuwa wamewafukuzia, na baada ya kila mmoja wao kuuawa kwa upanga, Waisraeli wote wakarudi Ai na kuwaua wale waliokuwa wamebakia mjini.Yoshua 8:24 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- עַיʻAyAi, Aja or Ajath, a place in Palestine
- תָּמַםtâmamto complete, in a good or a bad sense, literal, or figurative, transitive or intransitive
- רָדַףrâdaphto run after (usually with hostile intent; figuratively (of time) gone by)
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
- כָּלָהkâlâhto end, whether intransitive (to cease, be finished, perish) or transitived (to complete,
- מִדְבָּרmidbâra pasture (i.e. open field, whither cattle are driven); by implication, a desert; also spe
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
- חֶרֶבcherebdrought; also a cutting instrument (from its destructive effect), as a knife, sword, or ot
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
