Yoshua 7:3
Waliporudi kwa Yoshua, wakasema, “Si lazima watu wote waende kupigana na Ai. Watume watu elfu mbili au tatu wakauteke huo mji. Usiwachoshe watu wote, kwa sababu huko kuna watu wachache tu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- יָגַעyâgaʻproperly, to gasp; hence, to be exhausted, to tire, to toil
- עַיʻAyAi, Aja or Ajath, a place in Palestine
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
- אֶלֶףʼelephhence (the ox's head being the first letter of the alphabet, and this eventually used as a
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
- שׁוּבshûwbto turn back (hence, away) transitively or intransitively, literally or figuratively (not
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
