Yoshua 7:12
Ndiyo sababu Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya adui zao. Wanawapa visogo na kukimbia kwa kuwa wanastahili maangamizi. Sitakuwa pamoja nanyi tena hadi mwangamize kila kitu miongoni mwenu kilichotengwa kwa maangamizi.Yoshua 7:12 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חֵרֶםchêremphysical (as shutting in) a net (either literally or figuratively); usually a doomed objec
- עֹרֶףʻôrephthe nape or back of the neck (as declining); hence, the back generally (whether literal or
- לֹאlôʼnot (the simple or abs. negation); by implication, no; often used with other particles
- שָׁמַדshâmadto desolate
- פָּנָהpânâhto turn; by implication, to face, i.e. appear, look, etc.
- יָכֹלyâkôlto be able, literally (can, could) or morally (may, might)
- יָסַףyâçaphto add or augment (often adverbial, to continue to do a thing)
- אֹיֵבʼôyêbhating; an adversary
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.