MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Yoshua 4:8

Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na idadi ya makabila ya Israeli, kama Mwenyezi Mungu alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Jos 1:16–18, Jos 4:20, Jos 4:2–5

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jos/4/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yoshua 4:8 — MEGA.Bible"></iframe>