Yoshua 4:18
Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu. Mara tu walipoiweka miguu yao ukingoni mwa mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.Yoshua 4:18 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- גָּדָהgâdâha border of a river (as cut into by the stream)
- חָרָבָהchârâbâha desert
- נָתַקnâthaqto tear off
- תְּמוֹלtᵉmôwlproperly, ago, i.e. a (short or long) time since; especially yesterday, or day before yest
- יַרְדֵּןYardênJarden, the principal river of Palestine
- כַּףkaphthe hollow hand or palm (so of the paw of an animal, of the sole, and even of the bowl of
- אָרוֹןʼârôwna box
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
