Yoshua 24:2
Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Hapo zamani baba zenu, pamoja na Tera baba yake Ibrahimu na Nahori, waliishi ng’ambo ya Mto, nao waliiabudu miungu mingine.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- תֶּרַחTerachTerach, the father of Abraham; also a place in the Desert
- נָחוֹרNâchôwrNochor, the name of the grandfather and a brother of Abraham
- עֵבֶרʻêberproperly, a region across; but used only adverbially (with or without a preposition) on th
- נָהָרnâhâra stream (including the sea; expectation the Nile, Euphrates, etc.); figuratively, prosper
- אַחֵרʼachêrproperly, hinder; generally, next, other, etc.
- אַבְרָהָםʼAbrâhâmAbraham, the later name of Abram
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- עָבַדʻâbadto work (in any sense); by implication, to serve, till, (causatively) enslave, etc.
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
