Yoshua 22:9
Kwa hiyo Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli huko Shilo katika nchi ya Kanaani ili kurudi Gileadi, nchi yao wenyewe waliyoipata sawasawa na agizo la Mwenyezi Mungu kupitia Musa.Yoshua 22:9 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שִׁילֹהShîylôhShiloh, a place in Palestine
- אֲחֻזָּהʼăchuzzâhsomething seized, i.e. a possession (especially of land)
- אָחַזʼâchazto seize (often with the accessory idea of holding in possession)
- רְאוּבֵןRᵉʼûwbênReuben, a son of Jacob
- גָּדGâdGad, a son of Jacob, including his tribe and its territory; also a prophet
- כְּנַעַןKᵉnaʻanKenaan, a son a Ham; also the country inhabited by him
- חֵצִיchêtsîythe half or middle
- גִּלְעָדGilʻâdGilad, a region East of the Jordan; also the name of three Israelites
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


