Yoshua 22:28
“Nasi tulisema, ‘Wakati wowote wakituambia hilo, au kuwaambia uzao wetu, tutawajibu hivi: Angalieni nakala hii ya madhabahu ya Mwenyezi Mungu, ambayo baba zetu waliijenga, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu, bali kama ushahidi kati yetu na ninyi.’Yoshua 22:28 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- תַּבְנִיתtabnîythstructure; by implication, a model, resemblance
- מָחָרmâchârproperly, deferred, i.e. the morrow; usually (adverbially) tomorrow; indefinitely, hereaft
- דּוֹרdôwrproperly, a revolution of time, i.e. an age or generation; also a dwelling
- זֶבַחzebachproperly, a slaughter, i.e. the flesh of an animal; by implication, a sacrifice (the victi
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.