Yoshua 2:23
Ndipo wale watu wawili wakaanza kurudi. Wakashuka kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu kilichowapata.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- נוּןNûwnNun or Non, the father of Joshua
- סָפַרçâpharproperly, to score with a mark as a tally or record, i.e. (by implication) to inscribe, an
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- שְׁנַיִםshᵉnayimtwo; also (as ordinal) twofold
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
