Yoshua 18:7
Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa Mwenyezi Mungu ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Musa mtumishi wa Mwenyezi Mungu aliwapa.”Yoshua 18:7 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- כְּהֻנָּהkᵉhunnâhpriesthood
- חֵלֶקchêleqproperly, smoothness (of the tongue); also an allotment
- מִזְרָחmizrâchsunrise, i.e. the east
- רְאוּבֵןRᵉʼûwbênReuben, a son of Jacob
- גָּדGâdGad, a son of Jacob, including his tribe and its territory; also a prophet
- עֵבֶרʻêberproperly, a region across; but used only adverbially (with or without a preposition) on th
- חֵצִיchêtsîythe half or middle
- מְנַשֶּׁהMᵉnashshehMenashsheh, a grandson of Jacob, also the tribe descended from him, and its territory
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 13:33, Num 18:20, Jos 13:8–31, Deu 3:12–17, Deu 10:9, Deu 18:1–2, Num 18:23, Num 32:29–41
