Yoshua 12:7
Hawa ndio wafalme ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao.Yoshua 12:7 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חָלָקChâlâqChalak, a mountain of Idumaea
- בַּעַל גָּדBaʻal GâdBaal-Gad, a place in Syria
- יְרֻשָּׁהyᵉrushshâhsomething occupied; a conquest; also a patrimony
- בִּקְעָהbiqʻâhproperly, a split, i.e. a wide level valley between mountains
- שֵׂעִירSêʻîyrSeir, a mountain of Idumaea and its aboriginal occupants, also one in Palestine
- לְבָנוֹןLᵉbânôwnLebanon, a mountain range in Palestine
- עֵבֶרʻêberproperly, a region across; but used only adverbially (with or without a preposition) on th
- יַרְדֵּןYardênJarden, the principal river of Palestine
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 11:17, Jos 11:23–12:1, Gen 36:30, Jos 9:1, Jos 13:1–19, Deu 11:23–24, Deu 2:1, Gen 36:20

