Yoshua 12:5
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa Wageshuri, na Wamaaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.Yoshua 12:5 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- סַלְכָהÇalkâhSalcah, a place East of the Jordan
- גְּשׁוּרִיGᵉshûwrîya Geshurite (also collectively) or inhabitants of Geshur
- מַעֲכָתִיMaʻăkâthîya Maakathite, or inhabitant of Maakah
- חֶרְמוֹןChermôwnChermon, a mount of Palestine
- סִיחוֹןÇîychôwnSichon, an Amoritish king
- בָּשָׁןBâshânBashan (often with the article), a region East of the Jordan
- מָשַׁלmâshalto rule
- חֵצִיchêtsîythe half or middle
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Deu 3:14, Jos 13:11, 1Sa 27:8, Deu 3:8–10, Deu 4:47–48, 2Sa 3:3, Jos 11:3, 2Sa 13:37






