“Mimi niko kinyume nawe, ee mlima unaoharibu, wewe uangamizaye dunia yote,” asema Mwenyezi Mungu. “Nitanyoosha mkono wangu dhidi yako, nikuvingirishe kutoka kilele cha mwamba, na kukufanya mlima ulioteketezwa kwa moto.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.