Nitaleta hofu kuu juu yako kutoka kwa wale wote wanaokuzunguka,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni. “Kila mmoja wenu ataondolewa, wala hakuna hata mmoja atakayekusanya wakimbizi.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.