Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali yenu, ninyi pia mtachukuliwa mateka, naye Kemoshi ataenda uhamishoni, pamoja na makuhani wake na maafisa wake.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.