Wale walioungana nawe wote wamekusahau, hawajali chochote kukuhusu wewe. Nimekupiga vile adui angekupiga, na kukuadhibu vile mtu mkatili angekuadhibu, kwa sababu hatia yako ni kubwa mno, na dhambi zako ni nyingi sana.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.