Sisi na tulale chini katika aibu yetu, na fedheha yetu itufunike. Tumetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, sisi na mababa zetu; tangu ujana wetu hadi leo hatukumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wetu.”
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.