ndipo wafalme wanaokaa kwenye kiti cha utawala cha Daudi wataingia kupitia malango ya mji huu, pamoja na maafisa wao. Wafalme na maafisa wao watakuja wakiwa wamepanda magari ya vita na farasi, wakiandamana na watu wote wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, nao mji huu utakaliwa na watu daima.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.