Waamuzi 9:48
yeye na watu wake wote wakakwea kwenye Mlima Salmoni. Abimeleki akachukua shoka, akakata baadhi ya matawi, ambayo aliyachukua begani mwake. Akawaagiza wale watu waliokuwa pamoja naye kuwa, “Haraka! Fanyeni kile mmeona nikifanya!”Waamuzi 9:48 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- צַלְמוֹןTsalmôwnTsalmon, the name of a place in Palestine and of an Israelite
- שׂוֹךְsôwka branch (as interleaved)
- קַרְדֹּםqardôman axe
- שְׁכֶםshᵉkemthe neck (between the shoulders) as the place of burdens; figuratively, the spur of ahill
- אֲבִימֶלֶךְʼĂbîymelekAbimelek, the name of two Philistine kings and of two Israelites
- מָהַרmâharproperly, to be liquid or flow easily, i.e. (by implication); to hurry (in a good or a bad
- כָּרַתkârathto cut (off, down or asunder); by implication, to destroy or consume; specifically, to cov
- עֵץʻêtsa tree (from its firmness); hence, wood (plural sticks)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
