Waamuzi 9:28
Gaali mwana wa Ebedi akasema, “Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani, hata tumtumikie? Je, yeye si mwana wa Yerub-Baali? Naye Zebuli si ndiye msaidizi wake? Basi watumikieni watu wa Hamori, babaye Shekemu. Kwa nini tumtumikie Abimeleki?Waamuzi 9:28 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- זְבֻלZᵉbulZebul, an Israelite
- עֶבֶדʻEbedEbed, the name of two Israelites
- גַּעַלGaʻalGaal, an Israelite
- חֲמוֹרChămôwrChamor, a Canaanite
- יְרֻבַּעַלYᵉrubbaʻalJerubbaal, a symbolic name of Gideon
- פָּקִידpâqîyda superintendent (civil, military or religious)
- שְׁכֶםShᵉkemShekem, a place in Palestine
- אֲבִימֶלֶךְʼĂbîymelekAbimelek, the name of two Philistine kings and of two Israelites
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
