Waamuzi 7:8
Hivyo Gideoni akawaruhusu wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema lake. Akabakia na wale mia tatu, nao wakachukua vyakula na tarumbeta za wenzao. Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- צֵידָהtsêydâhfood
- מִדְיָןMidyânMidjan, a son of Abraham; also his country and (collectively) his descendants
- שׁוֹפָרshôwphâra cornet (as giving a clear sound) or curved horn
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
- אֹהֶלʼôhela tent (as clearly conspicuous from a distance)
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
