Waamuzi 6:30
Watu wa mji wakamwambia Yoashi, “Mlete mwanao hapa. Ni lazima afe, kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukatakata nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.”Waamuzi 6:30 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נָתַץnâthatsto tear down
- יוֹאָשׁYôwʼâshJoash, the name of six Israelites
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- כָּרַתkârathto cut (off, down or asunder); by implication, to destroy or consume; specifically, to cov
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- עִירʻîyra city (a place guarded by waking or a watch) in the widest sense (even of a mere encampme
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.