Waamuzi 4:21
Lakini Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akachukua nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akiwa amelala usingizi kwa kuchoka. Akakipigilia kile kigingi kwenye paji la uso wake, kikapenya hata kuingia ardhini, naye akafa.Waamuzi 4:21 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- לָאטlâʼṭproperly, muffled, i.e. silently
- מַקֶּבֶתmaqqebethproperly, a perforator, i.e. a hammer (as piercing); also (intransitively) a perforation,
- צָנַחtsânachto alight; (transitive) to cause to descend, i.e. drive down
- רַקָּהraqqâhproperly, thinness, i.e. the side of the head
- רָדַםrâdamto stun, i.e. stupefy (with sleep or death)
- יָעֵלYâʻêlJael, a Canaanite
- חֶבֶרCheberCheber, the name of a Kenite and of three Israelites
- יָתֵדyâthêda peg
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Co 1:27, Jdg 5:26–27, Psa 3:7, Jdg 3:21, 1Sa 17:43, 1Sa 17:49–50, Jdg 3:31, Jdg 15:15