Waamuzi 4:14
Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo Mwenyezi Mungu amemtia Sisera mikononi mwako. Je, Mwenyezi Mungu hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu elfu kumi.Waamuzi 4:14 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- תָּבוֹרTâbôwrTabor, a mountain in Palestine, also a city adjacent
- דְּבּוֹרָהDᵉbôwrâhDeborah, the name of two Hebrewesses
- בָּרָקBârâqBarak, an Israelite
- סִיסְרָאÇîyçᵉrâʼSisera, the name of a Canaanitish king and of one of the Nethinim
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- אֶלֶףʼelephhence (the ox's head being the first letter of the alphabet, and this eventually used as a
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
