Waamuzi 3:19
Ehudi akafuatana nao hadi kwenye sanamu za mawe karibu na Gilgali, ndipo yeye akarudi, akafika kwa Egloni na kusema, “Ee Mfalme, ninao ujumbe wa siri kwako.” Mfalme akasema, “Nyamazeni kimya!” Nao wale waliomhudumia wote wakamwacha, wakatoka nje.Waamuzi 3:19 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- הָסָהhâçâhto hush
- פְּסִילpᵉçîylan idol
- סֵתֶרçêthera cover (in a good or a bad, a literal or a figurative sense)
- גִּלְגָּלGilgâlGilgal, the name of three places in Palestine
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
- שׁוּבshûwbto turn back (hence, away) transitively or intransitively, literally or figuratively (not
- דָּבָרdâbâra word; by implication, a matter (as spoken of) or thing; adverbially, a cause
- מֶלֶךְmeleka king
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
