Waamuzi 2:14
Hivyo hasira ya Mwenyezi Mungu ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שָׁסַסshâçaçto plunder
- שָׁסָהshâçâhto plunder
- עוֹדʻôwdproperly, iteration or continuance; used only adverbially (with or without preposition), a
- מָכַרmâkarto sell, literally (as merchandise, a daughter in marriage, into slavery), or figuratively
- חָרָהchârâhto glow or grow warm; figuratively (usually) to blaze up, of anger, zeal, jealousy
- יָכֹלyâkôlto be able, literally (can, could) or morally (may, might)
- סָבִיבçâbîyb(as noun) a circle, neighbour, or environs; but chiefly (as adverb, with or without prepos
- אֹיֵבʼôyêbhating; an adversary
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ki 17:20, Psa 106:40–42, Deu 32:30, Deu 31:17–18, 2Ch 36:16, Lev 26:37, Jdg 3:7–8, Jdg 4:2