Waamuzi 18:7
Basi hao wanaume watano wakaondoka na kufika Laishi, mahali ambapo waliwakuta watu wanaishi salama, kama Wasidoni, kwa amani na utulivu. Nchi yao haikupungukiwa kitu, hivyo wakastawi. Pia walikaa mbali sana na Wasidoni, wala hawakushughulika na mtu yeyote.Waamuzi 18:7 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עֶצֶרʻetserrestraint
- לַיִשׁLayishLaish, the name of two places in Palestine
- צִידֹנִיTsîydônîya Tsidonian or inhabitant of Tsidon
- בֶּטַחbeṭachproperly, a place of refuge; abstract, safety, both the fact (security) and the feeling (t
- כָּלַםkâlamproperly, to wound; but only figuratively, to taunt or insult
- שָׁקַטshâqaṭto repose (usually figurative)
- רָחוֹקrâchôwqremote, literally or figuratively, of place or time; specifically, precious; often used ad
- בָּטַחbâṭachfiguratively, to trust, be confident or sure
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

