Waamuzi 18:2
Hivyo Wadani wakatuma mashujaa watano kutoka Sora na Eshtaoli ili kupeleleza nchi na kuichunguza. Hawa mashujaa waliwakilisha koo zao zote. Waliwaambia, “Nendeni mkaichunguze hiyo nchi.” Wanaume hao wakaingia katika nchi ya vilima ya Efraimu, wakafika nyumba ya Mika, ambako walilala usiku huo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֶשְׁתָּאֹלʼEshtâʼôlEshtaol, a place in Palestine
- צׇרְעָהTsorʻâhTsorah, a place in Palestine
- רָגַלrâgalto walk along; but only in specifically, applications, to reconnoiter, to be atale-bearer
- חָקַרchâqarproperly, to penetrate; hence, to examine intimately
- מִיכָהMîykâhMicah, the name of seven Israelites
- קָצָהqâtsâha termination
- דָּןDânDan, one of the sons of Jacob; also the tribe descended from him, and its territory; likew
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
