Yakobo 1:6
Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, linalopeperushwa na upepo na kutupwa huku na huko.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἀνεμίζωanemízōto toss with the wind
- εἴκωeíkōto resemble
- κλύδωνklýdōna surge of the sea (literally or figuratively)
- διακρίνωdiakrínōto separate thoroughly, i.e. (literally and reflexively) to withdraw from, or (by implicat
- αἰτέωaitéōto ask (in genitive case)
- θάλασσαthálassathe sea (genitive case or specially)
- μηδείςmēdeísnot even one (man, woman, thing)
- πίστιςpístispersuasion, i.e. credence; moral conviction (of religious truth, or the truthfulness of Go
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mat 21:21–22, Heb 11:6, Mrk 11:22–24, Eph 4:14, Heb 10:23, Heb 13:9, 1Ti 2:8