Isaya 9:17
Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana, wala hatawahurumia yatima na wajane, kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu, na kila kinywa kinanena upumbavu. Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali, mkono wake bado umeinuliwa juu.Isaya 9:17 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חָנֵףchânêphsoiled (i.e. with sin), impious
- נְבָלָהnᵉbâlâhfoolishness, i.e. (morally) wickedness; concretely, a crime; by extension, punishment
- רָחַםrâchamto fondle; by implication, to love, especially to compassionate
- יָתוֹםyâthôwma bereaved person
- בָּחוּרbâchûwrproperly, selected, i.e. a youth (often collective)
- אַלְמָנָהʼalmânâha widow; also a desolate place
- רָעַעrâʻaʻproperly, to spoil (literally, by breaking to pieces); figuratively, to make (or be) good
- שָׂמַחsâmachprobably to brighten up, i.e. (figuratively) be (causatively, make) blithe or gleesome
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.