Isaya 7:8
kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski, na kichwa cha Dameski ni Resini peke yake. Katika muda wa miaka sitini na tano, Efraimu atakuwa ameharibiwa kiasi kwamba hataweza tena kuwa taifa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רְצִיןRᵉtsîynRetsin, the name of a Syrian and of an Israelite
- דַּמֶּשֶׂקDammeseqDamascus, a city of Syria
- חָתַתchâthathproperly, to prostrate; hence, to break down, either (literally) by violence, or (figurati
- שִׁשִּׁיםshishshîymsixty
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
- חָמֵשׁchâmêshfive
- רֹאשׁrôʼshthe head (as most easily shaken), whether literal or figurative (in many applications, of
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 17:1–3, Gen 14:15, Hos 1:6–10, Ezr 4:2, 2Sa 8:6, 2Ki 17:5–23, Isa 8:4

