Isaya 63:3
“Nimekanyaga shinikizo la kukamulia zabibu peke yangu; kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami. Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu; damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu, na kutia madoa nguo zangu zote.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נֵצַחNêtsachjuice of the grape (as blood red)
- פּוּרָהpûwrâha wine-press (as crushing the grapes)
- גָּאַלgâʼalto soil or (figuratively) desecrate
- רָמַסrâmaçto tread upon (as a potter, in walking or abusively)
- נָזָהnâzâhto spirt, i.e. besprinkle (especially in expiation)
- דָּרַךְdârakto tread; by implication, to walk; also to string abow (by treading on it in bending)
- חֵמָהchêmâhheat; figuratively, anger, poison (from its fever)
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 19:13–15, Rev 14:19–20, Mic 7:10, Mal 4:3, Zec 10:5, Lam 1:15, Isa 63:6, Isa 22:5