Isaya 59:5
Huangua mayai ya nyoka wenye sumu kali na kutanda wavu wa buibui. Yeyote alaye mayai yao atakufa, nalo moja likianguliwa, nyoka hutoka humo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- זוּרֶהzûwrehtrodden on
- עַכָּבִישׁʻakkâbîysha spider (as weaving a network)
- קוּרqûwr(only plural) trenches, i.e. a web (as if so formed)
- בֵּיצָהbêytsâhan egg (from its whiteness)
- צֶפַעtsephaʻa viper (as thrusting out the tongue, i.e. hissing)
- אָרַגʼâragto plait or weave
- בָּקַעbâqaʻto cleave; generally, to rend, break, rip or open
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.