Isaya 55:13
Badala ya kichaka cha miiba itaota miti ya misunobari, na badala ya michongoma utaota mhadasi. Hili litakuwa jambo la kumpatia Mwenyezi Mungu jina, kwa ajili ya ishara ya milele, ambayo haitaharibiwa.”Isaya 55:13 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- סַרְפָּדçarpâda nettle (as stinging like a burn)
- נַעֲצוּץnaʻătsûwtsprobably a brier; by implication, a thicket of thorny bushes
- הֲדַסhădaçthe myrtle
- בְּרוֹשׁbᵉrôwsha cypress (?) tree; hence, a lance or a musical instrument (as made of that wood)
- אוֹתʼôwtha signal (literally or figuratively), as aflag, beacon, monument, omen, prodigy, evidence,
- עוֹלָםʻôwlâmproperly, concealed, i.e. the vanishing point; generally, time out of mind (past or future
- שֵׁםshêman appellation, as amark or memorial of individuality; by implication honor, authority, ch
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Eph 3:20–21, 1Pe 2:9–10, Isa 41:19, 2Co 5:17, Jer 33:9, Isa 61:3, Isa 60:13, Jer 50:5