Isaya 50:2
Nilipokuja, kwa nini hapakuwa hata mtu mmoja? Nilipoita, kwa nini hapakuwa hata mtu mmoja wa kujibu? Je, mkono wangu ni mfupi mno hata nisiweze kuwakomboa? Je, mimi sina nguvu za kukuokoa? Kwa kukemea tu naikausha bahari, naigeuza mito ya maji kuwa jangwa; samaki wake wanaoza kwa kukosa maji na kufa kwa ajili ya kiu.Isaya 50:2 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- פְּדוּתpᵉdûwthdistinction; also deliverance
- גְּעָרָהgᵉʻârâha chiding
- דָּגָהdâgâh{a fish (often used collectively)}
- בָּאַשׁbâʼashto smell bad; figuratively, to be offensive morally
- חָרַבchârabto parch (through drought) i.e. (by analogy,) to desolate, destroy, kill
- קָצַרqâtsarto dock off, i.e. curtail (transitive or intransitive, literal or figurative); especially
- נָהָרnâhâra stream (including the sea; expectation the Nile, Euphrates, etc.); figuratively, prosper
- כֹּחַkôachvigor, literally (force, in a good or a bad sense) or figuratively (capacity, means, produ
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.