Isaya 49:26
Nitawafanya wanaokudhulumu wale nyama yao wenyewe; watalewa kwa damu yao wenyewe, kama vile kwa mvinyo. Ndipo wanadamu wote watajua ya kuwa Mimi, Mwenyezi Mungu, ni Mwokozi wako, Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עָסִיסʻâçîyçmust or fresh grape-juice (as just trodden out)
- אָבִירʼâbîyrmighty (spoken of God)
- יָנָהyânâhto rage or be violent; by implication, to suppress, to maltreat
- שָׁכַרshâkarto become tipsy; in a qualified sense, to satiate with astimulating drink or (figuratively
- גָּאַלgâʼalto be the next of kin (and as such to buy back a relative's property, marry his widow, etc
- יָשַׁעyâshaʻproperly, to be open, wide or free, i.e. (by implication) to be safe; causatively, to free
- בָּשָׂרbâsârflesh (from its freshness); by extension, body, person; also (by euphemistically) the pude
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.